HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 14, 2008

Unapota Kazi Ya Sharti Ugangamale

kuna anaeweza amini kuwa huyu ni askari wa kike katika jeshi la nchini Kenya kwa mzee Kibaki? kagangamala utafikiri men vile kudadadekiiiii!

1 comment:

  1. Wanikumbusha enzi zile niko secondary school (A-level) kule Tabora, ingawa ilikuwa ni shule ya serikali ilikuwa ni ya kijeshi. Tulikuwa twapiga kwata kama huyo mdada.

    Mama

    ReplyDelete

Post Bottom Ad