HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 14, 2008

Rais Kabila Hizi Ni Mvi Au Kuna Vitu Kapaka?

hivi rais Kabila katika hizi ndevu zake ni mvi kweli au kuna kitu kapaka ili nae aonekane kama umri umeanza kumpiga kikumbo?picha na mzee wa sumo.

3 comments:

  1. Huo mvi kaupaka tu, jamaa hana umri wa kuwa na mvi namna hii! Naona anajaribu na yeye aoanekane mmoja wao!

    ReplyDelete
  2. maana hata mimi imenipa mashaka sana hii hali,maana ni ya ghafla sana na kitu kingine najiuliza mbona za kichwani hana hata za kusingiziwa?

    ReplyDelete
  3. Kwa jinsi navomuona ni kwamba kapakaa. Hata mie mama yako sina mvi ingawa nimezidi umri... haha haaa

    ReplyDelete

Post Bottom Ad