HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 13, 2008

Tutawamiss Sana Ze Comedy

kutokana na kumaliza mkataba wao na televisheni ya Eatv,kiukweli ni kwamba tutawamiss sana hawa jamaa.maana walishaiteka nchi nzima kwa shughuli zao za uchekeshaji.sijui watasaini na nani tena mkataba mwingine?


1 comment:

Post Bottom Ad