si vibaya walau siku moja moja kuwa na kachemsha bongo kakizushi wadau wadau wangu watukufu.naomba tushee swali hili,huyu ni mtanagazaji maarufu sana wa luninga hasa vipindi vya miziki ya bolingo nangai.je huyu ni nani kwa jina lake analo tambulika?
Huyo ni Maimartha wa Jesse, hapo alikuwa MC kwenye uzinduzi wa AKUDO IMPACT sambamba na Mussa George! Maimartha huwa anatangaza kipindi cha Afrika Kabisa kila Jumamosi saa 1 hadi 2 usiku katika stesheni ya EATV akiwa na Ben Kinyaiya!
Huyo ni Maimartha wa Jesse, hapo alikuwa MC kwenye uzinduzi wa AKUDO IMPACT sambamba na Mussa George! Maimartha huwa anatangaza kipindi cha Afrika Kabisa kila Jumamosi saa 1 hadi 2 usiku katika stesheni ya EATV akiwa na Ben Kinyaiya!
ReplyDeleteLeila
mmhhh!!!! huyu ni Maimatha kweli?
ReplyDeletembona Maimatha nimjuaye mimi sio mzungu,na huyu mbona ni mzungu??
whyyyyyy?