haya haya haya tena kina dada mambo mambo yetu hayooooooo,kwa anayehitaji mitalimbo kama hii awasiliane na dada Chemi Che Mponda.wa kule swahilitime.blogspot.com.ukivikosa lwako na wala tusilaumiane.maana mzigo wenyewe ni mdogo tu.
tehteh ....jr una visa weye.
ReplyDeletemi niagizie kiatu sampuli kama ya hicho chekundu lakini kiwe na rangi ya pink. nataka nimechishie na sketi yangu ile.