sina la kusema zaidi ya kuwaambi kuwa huyo mganga mliompata mwaka huu basi msimuache maana mtakosa kila kitu.
hongereni sana kwa ubingwa huo mlio upata jana kule moscow mtulindie vizuri hilo kombe kwa kipindi hiki kifupi cha mwaka mmoja.maana najua kutokana ubingwa huo basi ni kelele mwezi mzima na hata maji yatakuwa hayanyweki kwa raha.
Sorry if I commented your blog, but you have a nice idea.
ReplyDelete