
leo ndio leo anaekwambia kesho ujue huyo kapotea kabisa,maana leo hata sijuia nani wa kumtambie mwenzie,ukikutana wa man yuu wanatamba kivyao na ukikutana na wa chelisii nao wanatamba kivyao.na sisi tunachotaka ni kuona nani ni mtemi na nani ni mdebwedo.
ila ikiwa ukiwa unangalia wenzio wanavyodundana raha kweli,maana hata ukiwa na ile brrrrrrrrrr inapita bila hata wasiwasi.
Thanks to the owner of this blog. Ive enjoyed reading this topic.
ReplyDelete