
Ulinzi ulikuwa ni wakufa mtu

Tmk wanaume family wakikamua vilivyo katika mkali nani ndani ya jiji la miamba

hakuna kilichobaki nyuma katika mkali na jijini Mwanza,namaana ya kwamba hadi bata pia walikuwepo kushuhudia nani ni mkali zaidi ya mwenzake.

Tmk wanaume halisi nao walikamua kadri ya uwezo wao ili washabiki wao waweze kutambua ukali wao katika tua ya mkali nani.

kibra na richie wani walikamua ile mbaya

Kiongozi wa kundi la Wanaume Halisi Juma Nature akiwa juu ya jukwaa na kundi lake wakitumia staili yao ya Kung-fu Flix na 1-2-1

mtu ilikuwa nyomi ile mbaya yaani hata nafasi ya kupita haikupatikana,kudadadeki walahi.
picha zote hizi ni kwa hisani ya yule
MICHUZI JR mwenzangu.na si mimi kama wengi wanavyofikiria.
To the owner of this blog, how far youve come?You were a great blogger.
ReplyDelete