JE unajua kuwa ndani ya 90 pekee za mwamuzi zinaweza kukubadilishia maisha yako?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Meridianbet na uanze safari ya ushindi hapa, Odds kubwa zipo pia.
Jumatatu ya kibabe inaanza kwa mechi nzuri ya pesa pale EPL ni Fulham dhidi ya Chelsea kutoka pale Stamford Bridge, huku mechi hii ikiwa na matarajio makubwa kwa timu zote mbili kwani ushindi pekee ndio kila timu inahitaji pale Craven Cottage.
Wenyeji wanaingia kwenye msimu huu wakiwa na mabadiliko makubwa baada ya kuahana na aliyekuwa koha wao Marco Silva baada ya kuhudumu kwa miaka mitano na kuhamia Benfica. Nafasi yake imechukuliwa na Álvaro Arbeloa, ambaye aliwahi kuwa kocha wa Real Madrid.
Kwa upande wa Chelsea nao wako kwenye mabadiliko makubwa kwani wanaanza msimu wakiwa na kocha mpya Xabi Alonso ambaye ameanza kazi kama kocha mpya baada ya klabu kumaliza msimu uliopita katika nafasi ya 10. Lengo lao kuu msimu huu ni kurudi kwenye nafasi 4 za juu yaani Top Four.
Chelsea wamefanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi, huku wakisajili wachezaji kama Morgan Rogers kwa £117m, Lacroix, na wachezaji wenye uzoefu mkubwa kama vile Jordan Henderson na Danny Welbeck.
Piga pesa kupitia michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile, Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Kwenye maandalizi ya mwisho ya msimu, Chelsea waliifunga Real Sociedad 3-1, jambo linalompa Alonso matumaini kabla ya mchezo huu wa ligi ambao unatarajiwa kuwa mgumu ugenini.
Fulham wanapata faida ya kutumia uwanja wa nyumbani kwani kutakuwa na mashabiki zao lakini hiyo haiwafanyi The Blues washindwe kufanya vizuri, kwani timu ambayo imejipanga vyema ndio inaweza kuondoka na ushindi. Beti sasa.
Pia kule Italia, SERIE A kutakuwa na mechi kali kati ya AS Roma dhidi ya Fiorentina ikiwa huu ni mchezo wa kuvutia sana kwani timu hizi zina historia ya kutoa mechi nzuri na ya kuvutia huku kwa ubora wa Roma ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kuondoka na ushindi.
Chini ya kocha mkuu Gian Gasperini klabu hiyo ya AS Roma wanatarajiwa kuwa na msimu mzuri kwani kocha huyo anajulikana kuwa na mbinu nzuri za kunoa vikosi, huku mechi hii ikiakisi mwanzo mzuri wa ligi kwa wote. Ushindi katika mchezo wa kwanza wa ligi unaweza kutoa msingi mzuri wa kujiamini kwa kikosi katika msimu ambao Roma wanataka kupigania nafasi za juu.
Kwa upande mwingine, Fiorentina wanaingia kwenye mchezo huu wakiwa na kiu ya kubadilisha taswira yao baada ya msimu uliopita ambao haukuwa mzuri. Hata hivyo, maandalizi yao yameonyesha kwamba wana uwezo wa kuwa tishio tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita.
Msimu uliopita, Roma liondoka na ushindi kwenye mechi zote mbili ambazo walikutana hivyo wageni wanaingia uwanjani maalumu kwaajili ya kutaka kulipa kisasi. Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yanakusubiri wewe leo. Jisajili hapa.


No comments:
Post a Comment