Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete (Mb.), amewasili mkoani Mtwara kuhudhuria Mahafali ya 43 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Mtwara, yanayofanyika leo Juni 13, 2026.
Saturday, June 13, 2026
Home
Unlabelled
Mhe. Ridhiwani Kikwete Awasili Mkoani Mtwara Kuhudhuria Mahafali ya 43 ya TPSC
Mhe. Ridhiwani Kikwete Awasili Mkoani Mtwara Kuhudhuria Mahafali ya 43 ya TPSC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







No comments:
Post a Comment