HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 3, 2023

IJUMAA YA MAOKOTO NDIO HII HAPA

 

WIKENDI ndio hiyoo na ligi mbalimbali zimeanza kurejea kuanzia leo ambapo tukianzia hapa nyumbani, ligi kuu ya NBC zitapigwa mechi tatu, kule Hispania mechi moja, Serie A mechi moja na kwingineko pia. Hivyo weka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet na ubashiri kijanja.

Leo ligi kuu ya Tanzania NBC, katika dimba la Uhuru majira ya saa 10:00 jioni nyasi zitawaka moto licha ya kuwepo mvua leo hii ambapo vijana wa Moalini KMC watakipiga dhidi ya Dodoma Jiji. Timu zote mbili zimetoka kupata ushindi michezo yao iliyopita huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni pointi 3. Nafasi kubwa ya ushindi kapewa mwenyeji akiwa na ODDS ya 1.89 kwa 3.77 bashiri sasa.

Wakati majira hayo hayo ya saa 10:00 Mtibwa Sugar ambaye ndiye kibonde wa ligi atakuwa Manungu kumenyana dhidi ya JKT Tanzania ambaye yupo nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi. Timu zote zimepoteza mechi zao za mwisho. Walima Miwa wamepewa nafasi kubwa ya kuibuka wababe wakiwa na ODDS ya 2.11 kwa 3.14. Suka jamvi lako hapa sasa.

Na mechi ya mwisho kabisa itakuwa ni kati ya Kagera Sugar dhidi ya Tanzania Prisons majira ya saa 1:00 jioni. Mwenyeji yupo nafasi ya 8 na mgeni yupo nafasi ya 14 huku mara ya mwsiho kukutana, Wajelajela walishinda. Je leo mwenyeji kulipa kisasi?

Ndugu mteja wakati unaendelea kufanya ubashiri wa mechi zako kumbuka kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo imekuja na kwanja wa maana yaani unaweza kujishindia hadi shilingi Milioni Mia MBili za Kitanzania 200,000,000 kwa dau lako la buku tuu, endapo utabashiri kwa usahihi mechi zako zote 13. Pia kwa wale wa vitochi au USSD ni rahisi tuu, piga *149*10# na ubashiri na mabingwa wa ubashiri Tanzania sasa.

Ligi kuu ya Italia, SERIE A pia ianarajiwa kupigwa hii leo kwa mchezo mmoja kati ya Bologna FC dhidi ya Lazio Rome. Tofauti ya pointi kati yao ni moja pekee na mara ya mwisho walipokutana hakuna aliyekuwa mbabe. Mechi hii ina ODDS KUBWA pale Meridianbet ingaia na ucheze sasa.

LALIGA kama kawaida saa 5:00 usiku Las Palmas atakuwa mwenyeji wa Atletico Madrid ya Diego Simeone. Ushindi wa Atletico utamfanya akae kileleni kwa tofauti ya magoli huku ikiwa ni mchezo wake wa 11. Mwenyeji yupo nafasi ya 10 akiwa na pointi zake 14, na wote wametoka kushinda mechi zao zilizopita. Mechi hii imepewa ODDS ya 1.65 kwa 5.29. Ingia meridianbet ubashiri sasa.

Kivumbi kingine kipo kule Ufaransa ambapo LIGUE 1 nayo kutakuwa na mchezo mmoja ambao ni kati ya mabingwa watetezi PSG dhidi ya Montpellier. Mchezo huu utapigwa katika dimba la Parc des Princes huku nafasi ya kuibuka na ushindi akipewa Enrique na vijana wake kwa ODDS ya 1.25 kwa 9.80. Nani kushinda leo hii?

Pale BUNDESLIGA kutakuwa na mbungi kali sana kati ya Darmstadt ambaye yupo nafasi ya 14 dhidi ya Bochum ambaye yupo nafasi ya 16. Tofauti ya pointi kati yao ni mbili pekee huku mwenyeji akipoteza mchezo wake uliopita na mgeni akisare. Mechi hii ina ODDS ya 2.35 kwa 2.79. Unasubiri nini sasa? Beti hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad