HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 9, 2023

BODI YA TASAC YAUNGA MKONO NA KUPONGEZA JITIHADA ZA TPA KUJENGA BANDARI YA KUHUDUMIA MZIGO MCHAFU KISIWA CHA MGAO

 

 

BODI ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeunga mkono na kupongeza jitihada za Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) kujenga Bandari ya kuhudumua mizigo Mchafu eneo la Kisiwa -Mgao.


Ujenzi huo unatarajiwa kufanyika katika kisiwa hicho kilichopo katika Halmashauri ya wilaya ya Mtwara Mkoani Mtwara ikiwa ni mkakati wa kusogeza huduma karibu na wananchi.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Capt. Mussa Mandia akiwa katika ziara hiyo ya kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa na TASAC chini ya usimamizi wa Bodi hiyo.






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad