HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 4, 2023

CHONGOLO AHUDHURIA KIKAO CHA BALOZI WA SHINA NAMBA 5 LA CCM WILAYANI TANGANYIKA MKOANI KATAVI,ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godfrey Chongolo leo Jumanne Oktoba 3,2023 amehudhuria na kushiriki kikao cha Balozi wa Shina namba 5, Ndugu Mikael Ndayambue Migelelo katika Tawi la Kapalamsenga, Wilaya ya Tanganyika, mkoani Katavi.

Ndugu Chongolo pia alitumia nafasi hiyo kusikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika maeneo hayo, kuzitolea maelekezo ya kuzitatua pamoja na kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi.






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad