HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 25, 2023

WANANCHI WANAKARIBISHWA KATIKA BANDA LA TPA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI





Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA, wameendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu Huduma zinazotolewa na TPA Katika Maonesho ya sita ya kimataifa ya Teknolojia ya Madini 2023, yanayoendelea katika Viwanja vya EPZ Bombambili Mkoani Geita.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad