Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA, wameendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu Huduma zinazotolewa na TPA Katika Maonesho ya sita ya kimataifa ya Teknolojia ya Madini 2023, yanayoendelea katika Viwanja vya EPZ Bombambili Mkoani Geita.
Monday, September 25, 2023

Home
Unlabelled
WANANCHI WANAKARIBISHWA KATIKA BANDA LA TPA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI
WANANCHI WANAKARIBISHWA KATIKA BANDA LA TPA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment