HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 15, 2023

JIPAKULIE MINYAMA WIKENDI HII UKIWA NA MERIDIANBET


HATIMAYE wikendi ya maokoto imerejea na Meridianbet ipo tayari kukupatia pesa yoyote unayoitaka wewe ukibashiri na mabingwa hao wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania kwa ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 ambayo wanayatoa kila siku.

Ligi pendwa Duniani EPL imekuja kwa kishindo mechi mbalimbali kurindima siku ya Jumamosi na Jumapili ambapo mechi ya mapema hapo kesho itakuwa ni kati ya Wolves ambao watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Liverpool ambao wamekuwa wa moto sana. Nafasi kubwa ya ushindi wamepewa Liver wakiwa na ODDS 1.42.

Hapo hapo Uingereza Manchester United watakuwa Old Trafford kucheza dhidi ya Brighton huku mara ya mwisho kukutana Ten Hag alipoteza mechi. Nani kubeba pointi 3 hapo kesho?

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Wakati huo huo mabingwa watetezi wa Ligi Manchester City watakuwa ugenini dhidi ya vijana wa David Moyes West Ham United ambao hawajapoteza mechi yoyote. Je Guardiola na vijana wake watapata pointi 3 kesho?

Meridianbet na Halopesa wamekuletea promosheni ya kujichotea maokoto endapo utaweka na kubashiri na Meridianbet na utaweza kupata zawadi kama pikipiki, pesa taslimu, simu janja nk. Ingia hapa na ubashiri.

Tukipaa hadi pale LALIGA mechi za kukupatia pesa nazo ni nyingi kazi inakuwa kwako wewe. Baada ya mechi ya Atletico kuahirishwa, wikendi hii atakuwa ugenini kukipiga dhidi ya Valencia huku mechi hii ikiwa na ODDS za kibabe. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubashiri sasa.

Barcelona atamkaribisha Real Betis na mechi za msimu uliopita walipokutana, Xavi na vijana wake walishinda zote. Je Mgeni atalipiza kisasi? Mechi hii imepewa ODDS ya 1.37 kwa 7.44.

Na siku ya Jumapili majira ya saa 4:00 usiku kinara wa ligi Real Madrid atakuwa pale Santiago Bernabeu kuzichabanga dhidi ya Real Sociedad ambaye yupo nafasi ya 8 akiwa na pointi 6. Je Jude ataendeleza kuuwasha?

Meridianbet, Msimu Mpya Mzigo wa Kutosha

SERIE A ni ya kibabe sana wikendi ambapo mechi ya kuvutia ni Derby della madonnina kati ya Inter Milan dhidi ya AC Milan ambao walipokutana mara ya mwisho Inter alishinda. Nafasi kubwa ya kuchukua pointi 3 ndani ya Meridianbet amepewa mwenyeji akiwa na 2.16 kwa 3.28. Wewe unamdhamini nani?

Baada ya mabingwa wa Scudetto Napoli kupoteza mechi iliyopita, wao watawkuwa ugenini dhidi ya Genoa kusaka alama 3. Rudi Garcia anataka ushindi mechi hii ajiweke kwenye nafasi ya kutetea taji. Je mwenyeji anaweza kumzuia?

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Naye Juventus atakuwa nyumbani kucheza dhidi ya Lazio ambaye alipata ushindi wake wa kwanza mechi iliyopita. Mechi za msimu uliopita waligawana pointi yani kila mmoja alishinda mechi moja. Karata yako unaitupa wapi?

Kule jijini Paris sasa LIGUE 1 nayo itachezwa wikendi hii Lille atakuwa mgeni wa Srade Rennes ndani ya Meridianbet, nafasi kubwa ya kushinda amepewa mwenyeji akiwa na ODDS ya 2.11 na mgenia akiwa na ODDS ya 3.19. Suka jamvi lako na weka mechi hii.

Jumapili moto utawaka katika dimba la Moustoir ambapo Monaco watakuwa wakisaka pointi 3 dhidi ya Lorient. Monaco ana pointi 10 huku mwenyeji akiwa na pointi 5.

Majira ya saa 12:05 Marseile atakipiga dhidi ya Toulouse. Kushinda mwenyeji amepewa ODDS ya 1.47 na mgeni amepewa ODDS ya 5.88.

NB: Bado Jakpoti inaendelea ndani ya Meridianbet ambapo kwa dau la shilingi 1000/= unaweza kubashiri mechi zako 13 na ukajipigia mkwanja wa shilingi 85,000,000. Ingia Meridianbet na ucheze sasa.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad