RC MTAKA ATEMBELEA BANDA LA BRELA - MTAA KWA MTAA BLOG

HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 5, 2023

RC MTAKA ATEMBELEA BANDA LA BRELA

MKUU wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka  ametembelea banda la Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (Nanenae) yanayoendelea katika uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya. Mhe. Mtaka ameitaka BRELA kuongeza jitihada katika kuhamasisha wadau kurasimisha biashara zao ili kukuza uchumi wa nchi.

RC  Mtaka  akisaini kitabu cha wageni  wanaotembelea banda la BRELA kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane yanayoendelea viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya

Mhe. Mtaka akipata maelezo kuhusu wageni wanaotembelea banda la BRELA kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane yanayoendelea viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad