Wakuu wa Taasisi watembelea banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) - MTAA KWA MTAA BLOG

HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 5, 2023

Wakuu wa Taasisi watembelea banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA)


Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Insurance Dkt.Elirema Doriye  akiwa katika picha ya pamoja  na wafanyakazi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakati alipotembelea banda hilo kwenye  maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa  Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage  Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam. 

Mkurugenzi Mtendaji wa NDC Nicolaus shombe  akipata maelezo kutoka Mkuu wa kitengo cha uhusiano wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Sarah Goroi  wakati alipotembelea banda hilo kwenye  maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa  Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage  Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Insurance Dkt.Elirema Doriye akisaini kitabu cha wageni katika banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakati alipotembelea banda hilo kwenye  maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa  Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage  Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad