HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 10, 2022

TGNP YAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

 

Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Gemma Akilimali akiwasili kwenye  maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam yaliyoanza Novemba 25 Hadi Desemba 10 mwaka 2022.
Maandamano yakiendelea 
Mwenyekiti wa bodi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Gemma Akilimali akizungumza na vituo vya Taarifa na Maarifa, viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kuhusu taswira halisi ya namna walivyoweza kukabiliana na ukatili wa kijinsia wakati alipokuwa anafanya ufunguzi wa kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa ya kupinga ukatili wa kijinsia yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya hiyo Leo jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya TGNP Subira Kibiga akimkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya kufungua maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam.
Makamu Mkurugenzi wa Shirika la Builders of Future Africa Brenda Mgallah akizungumza namna wanavyoshirikiana na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika kutoa Elimu kwa jamii kufungua maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam yaliyoanza Novemba 25 Hadi Desemba 10 mwaka 2022.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Binti Makini Janeth Johnakizungumza kuhusu namna wanavyitoa elimu hasa kwa watoto wa kike waliopo mashuleni namna ya kujitambua na kupambana na masuala ya ukatili wa kijinsia  kufungua maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe mbalimbali wakichangia mada kwenye maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam yaliyoanza Novemba 25 Hadi Desemba 10 mwaka 2022.
Baadhi ya viongozi kutoka Serikalini, mashirika, vituo vya Taarifa na Maarifa pamoja na Wananchi mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam yaliyoanza Novemba 25 Hadi Desemba 10 mwaka 2022.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Gemma Akilimali akiwa kwenye picha za pamoja na Makundi mbalimbali kama vile viongozi kutoka Serikalini, Mashirika na Taasisi, vituo vya Taarifa na Maarifa pamoja na Wananchi mbalimbali wakiwa wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni ya kimataifa yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya TGNP jijini Dar es Salaam yaliyoanza Novemba 25 Hadi Desemba 10 mwaka 2022.
Burudani zikiendelea 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad