HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 16, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAZINDUA TAWI JIPYA KUFANYA KAZI MASAA24

 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi (watatu kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi la benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaam ambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi masaa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote wengine pichani kutoka kushoto ni Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta,Mkurugenzi wa Masoko Deo Kwiyuka, Meneja wa TCB Tawi la TPA, Anastela Kabudi, Mkurugenzi wa Sheria, Mystica Mapunda Mkurugenzi wa Hazina wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Wenceslaus Fungamtama pamoja na maa fisa wengine wa TCBAfisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi (kushoto), akifungua kisanduku maalum kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi la benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaamambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi masaa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote wengine pichani Mkurugenzi wa Masoko wa benki hiyo Deo Kwiyuka, pamoja na Meneja wa TCB Tawi la TPA, Anastela KabudiAfisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaam ambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi masaa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote Meneja Tanzania Commercial Bnk TCB Tawi la TPA, Anastela Kabudi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaam ambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi masaa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad