Mgeni
rasmi Dkt. Donath Olomi akisoma hotuba kwenye Mahafali ya 10 ya darasa
la Saba shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya
Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Mwenyekiti
wa Kamati ya shule ya Nyamata Academy, Salum Mkude akizungumza neno
pamoja na kumkaribisha mgeni rasmi Dkt Donath Olomi wakati wa Mahafali
ya 10 ya darasa la Saba shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya
12 ya Shule ya Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Mwalimu
Mkuu wa Shule ya Nyamata Academy akisoma hotuba pamoja na kutoa
historia toka kuanzishwa kwa shule hiyo kwa mgeni rasmi Dkt Donath Olomi
wakati wa Mahafali ya 10 ya darasa la Saba ya shule ya Nyamata Academy
pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya Awali yaliyofanyika tarehe 17
Septemba, 2022.
Wahitimu
wa darasa la Saba ya shule ya Nyamata Academy wakifuatilia
wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Dkt Donath Olomi wakati wa Mahafali
ya 10 ya darasa la Saba ya shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali
ya 12 ya Shule ya Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Mhitimu
wa Darasa la Saba Annacareen Chonya akisoma risala kwa niaba ya
wanafunzi wanaomaliza mbele ya mgeni rasmi Dkt Donath Olomi, viongozi wa
Shule pamoja na wageni waalikwa wakati wa Mahafali ya 10 ya darasa la
Saba ya shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya
Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Dada
Mkuu wa Shule ya Nyamata Academy Wahida Kiduli akisoma risala kwa niaba
ya wanafunzi wanaobaki mbele ya mgeni rasmi Dkt Donath Olomi, viongozi
wa Shule pamoja na wageni waalikwa wakati wa Mahafali ya 10 ya darasa
la Saba ya shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya
Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Mgeni
rasmi Dkt Donath Olomi kikabidi zawadi na vyeti kwa baadhi ya wahitimu
waliofanya vizuri kwenye Masomo mbalimbali wakati wa Mahafali ya 10 ya
darasa la Saba ya shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12 ya
Shule ya Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Wanafunzi
wa shule ya Awali wakitoa burudani wakati wa Mahafali ya 10 ya darasa
la Saba ya shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya
Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Wanafunzi
wa shule ya Nyamata Academy wakitoa burudani wakati wa Mahafali ya 10
ya darasa la Saba ya shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12
ya Shule ya Awali yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Baadhi
ya wageni waalikwa wakifuatilia Mahafali ya 10 ya darasa la Saba ya
shule ya Nyamata Academy pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya Awali
yaliyofanyika tarehe 17 Septemba, 2022.
Mgeni
rasmi Dkt. Donath Olomi akizundua Mtambo wa kuchuja maji na kutibu maji
wakati wa Mahafali ya 10 ya darasa la Saba ya shule ya Nyamata Academy
pamoja na mahafali ya 12 ya Shule ya Awali yaliyofanyika tarehe 17
Septemba, 2022.
No comments:
Post a Comment