
Ile
burudani ya kuisaka Top 4 kwenye EPL ndio inapamba moto Jumamosi hii. Arsenal
kuwaalika Manchester United
ndani ya Emirates Stadium. Ni muendelezo wa big match kwa timu hizi. United
ametoka kupambana na Liverpool, Arsenal katoka kuchuana na Chelsea. Kitaumana!!
Meridianbet
tumekuwekea Odds ya 2.23 kwa Arsenal.
Wakati
EPL ikinogeshwa kwa vita ya Arteta vs Rangnick, kule Ujerumani ni Bayern
Munich vs Borussia Dortmund.
Hapa zinakutana timu mbili ambazo zinawashambuliaji wawili wenye uwezo mkubwa
wa kufumania nyavu – Robert Lewandowski vs Erling Haaland. Kinara wako ni nani?
Kuna Odds ya
1.37 kwa Bayern ndani ya Meridianbet.
Jumapili
ni zamu ya Merseyside
Derby, baada ya Liverpool kuwachinja Man
United pale Anfield, ni zamu ya Everton kuingia uwanjani hapo wakiongozwa na
Frank Lampard. Wataingia salama lakini, wanatokaje? Toffees wanapambana
kujihakikishia nafasi ya kubaki Ligi Kuu msimu ujao. The Reds wanausaka ubingwa
wa EPL msimu huu. Lengo la nani litatimilika? Meridianbet
tumekuwekea Odds ya 1.18 kwa Liverpool.
Wiki itaanza upya kwa mchezo wa Crystal Palace vs Leeds United siku ya Jumatatu usiku. Soka la kibingwa linachezwa zinapokutana timu mbili ambazo zinatawala mchezo kwenye safu ya viungo. Mbinu za nani zitazaa matunda kwenye mchezo huu? Ifuate Odds ya 1.97 kwa Palace ukiwa na Meridianbet.
Bashiri Kistaarabu. Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya miaka 18.
No comments:
Post a Comment