Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Balozi Liberata Mulamula (wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Timu ya Usimamizi wa Benki ya Standard Chartered mara baada ya kumaliza kikao kazi. Kutoka kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha, Rayson Foya, Mhe. Liberata Mulamula, Afisa Mtendaji Mkuu, Sanjay Rughani. Kutoka kushoto, Mkuu wa Kitengo cha Biashara, Biashara na Masoko, Desideria Mwegelo, Mkuu wa Kitengo cha Wateja, Biashara na Kitaasisi, Jerry Agyeman-Boateng.
Tuesday, February 8, 2022

Home
FEDHA NA UCHUMI
HABARI
HABARI MCHANGANYIKO
Balozi Liberata Mulamula akutana na Wajumbe wa Timu ya Usimamizi wa Benki ya Standard Chartered
Balozi Liberata Mulamula akutana na Wajumbe wa Timu ya Usimamizi wa Benki ya Standard Chartered
Tags
# FEDHA NA UCHUMI
# HABARI
# HABARI MCHANGANYIKO
HABARI MCHANGANYIKO
Labels:
FEDHA NA UCHUMI,
HABARI,
HABARI MCHANGANYIKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment