RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na
Teknolojia ya Habari Tanzania ukiongozwa na Waziri wa wizara hiyo
Mhe.Nape Moses Mnauye, (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo na kujitambulisha mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi
wa Ikulu.(Picha na Ikulu)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Tanzania Mhe. Nape Moses Nnauye, alipofika Ikulu Zanzibar kwa
mazungumzo na kujitambulisha na Ujumbe wake, mazungumzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na
Teknolojia ya Habari Tanzania ukiongozwa na Waziri wa wizara hiyo
Mhe.Nape Moses Mnauye.(kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais ) Katibu
Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Mhandisi Zena Ahmed Said.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya
Habari Tanzania Mhe.Nape Moses Nnauye, baada ya kumaliza mazungumzo yao
alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo
20-1-2022.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment