Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari akitoa maelezo juu ya uendeshaji wa mamlaka hiyo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete mara baada kutembelea Makao Makuu ili kujifunza ufanyaji kazi wake
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakifuatilia mkutano huoMkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania CATC), Aristid Kanje (kulia) akitoa maelekezo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete alipotembelea Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania ili kujifunza
Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania, Aristid Kanje (kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete na menejimenti ya TCAA mara baada ya kutembelea eneo ambalo linatarajiwa kujengwa Chuo cha kisasa cha Usafiri wa Anga Tanzania
No comments:
Post a Comment