Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua mashindano ya 11 ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha, Desemba 6, 2021.
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya 11 ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Mashindano hayo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha, Novemba 6, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment