Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Zungu
akizungumza katika kikao cha Kamati kilichokutana Bungeni Jijini
Dodoma. Kamati hiyo ilikutana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
kujadili utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene akizungumza katika
kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama
kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
Wajumbe
wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, wakiwa katika
kikao cha Kamati kilichokutana Bungeni Jijini Dodoma, Kamati hiyo
ilikutana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kujadili utendaji wa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
No comments:
Post a Comment