Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro ( kulia) akisistiza
jambo wakati akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Tanzania wa
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) ,Veeraya Kate
Somvongsiri wakati alipomtembelea ofisini kwake leo Jijini Dodoma ambapo
pamoja na mengine wamezungumzia hatua ambazo Wizara ya Maliasili na
Utalii inazichukua katika kuwalinda watalii ili kuweza kukabiliana na
tatizo la ugonjwa wa Corona Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro ( kulia) akiwa katika
picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Tanzania wa Shirika la Marekani la
Maendeleo ya Kimataifa (USAID) ,Veeraya Kate Somvongsiri mara baada ya
kufanya mazungumzo leo Jijini Dodoma ambapo pamoja na mengine
wamezungumzia hatua ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii inazichukua
katika kuwalinda watalii ili kuweza kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa
Corona Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro ( kulia) akiteta
jambo mara baada ya kumaliza kufanya mazungumzo na na Mkurugenzi wa
Tanzania wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID)
,Veeraya Kate Somvongsiri wakati alipomtembelea ofisini kwake leo Jijini
Dodoma ambapo pamoja na mengine wamezungumzia hatua ambazo Wizara ya
Maliasili na Utalii inazichukua katika kuwalinda watalii ili kuweza
kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa Corona
No comments:
Post a Comment