HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 16, 2021

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa SADC

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu Lilongwe nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 41wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaotarajiwa kuanza hapo kesho tarehe 17 hadi 18 nchini Malawi. PICHA NA IKULU

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad