Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa
aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias John Kwandikwa ,
Kibaha Picha ya Ndege mkoani Pwani. Pembeni ni Mke wa Makamu wa Rais Bi.
Mbonimpawe Mpango. Agosti 4,2021.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akimfariji mke wa marehemu Elias John
Kwandikwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Bi. Marceline
Kwandikwa pamoja na mtoto wa Marehemu (Kushoto) Jackline Kwandikwa Wakati
alipofika kuwapa faraja familia hiyo
nyumbani kwa marehemu Kibaha Picha ya Ndege mkoani Pwani. Agosti 4,2021.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Naibu Spika wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson Mwansansu wakati alipofika
nyumbani kwa marehemu Elias Kwandikwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga Taifa, Kibaha Picha ya Ndege mkoani Pwani. Agosti 4, 2021.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na waombolezaji waliojitokeza
nyumbani kwa marehemu Elias Kwandikwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga Taifa, Kibaha Picha ya Ndege mkoani Pwani. Agosti 4, 2021.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa
Taifa Diwani Athuman Msuya mara alipowasili kuwapa pole kufuatia kifo cha kaka
wa Mkurugenzi huyo Bw. Bisward Msuya kilichotokea Agosti 3, 2021.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango Akimfariji Bi. Lisa Msuya ambaye ni mke wa
marehemu Bisward Msuya mara alipofika kuitembelea familia hiyo eneo la Tangi
Bovu jijini Dar es salaam. Agosti 4, 2021.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na waombolezaji waliojitokeza
nyumbani kwa marehemu Bisward Msuya ambaye ni kaka wa Mkurugenzi wa Usalama wa
Taifa Diwani Athuman Msuya. Agosti 4, 2021.
No comments:
Post a Comment