Mkurugenzi wa Utafiti, Machapisho na Huduma kwa Umma, Dkt. Ambrose
Kessy(kushoto) akizungumza jambo na Mhadhiri Mwandamizi kutoka Chuo
kikuu Dodoma Dkt. Rehema Kilonzo(kulia) kwenye Maonesho ya 45 ya
Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere
jijini Dar es Salaam.
Mhadhiri
Msaidizi Idara ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Miraji Hossein
akitolea ufafanuzi kuhusu mtambo wa kusafishia maji uliotengenezwa na
chuo hicho kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika
katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mhadhili
Msaidizi Idara ya Elimu ya Saikolojia na Mafunzo ya Mitaala UDOM,
Frederick Msangi akielezea namna walivyojipanga hasa kwenye kozi zenye
tija kwenye Jamii na zinazoendana na kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa
ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar
es Salaam.
Mhadhiri
Idara ya Kemia Chuo kikuu cha Dodoma(kushoto) , Dkt Sahini Mtabazi
akizungumza jambo na Mhadhiri Mwandamizi Taasisi ya Taaluma za Maendeleo
na Mkurugenzi wa Shahada za awali, Dkt Victor George Marealle katika
banda la chuo hicho kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mhadhiri
na Mkuu wa Idara ya Tiba kwa Jamii Shule ya Tiba ya Afya ya kinywa
kutoka UDOM, Deogratius Bintabara akiendelea kutoa huduma kwa baadhi ya
wananchi waliotembelea Banda la chuo hicho kwenye Maonesho ya 45 ya
Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere
jijini Dar es Salaam.
Mhadhiri Msaidizi Idara ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Miraji Hossein(kushoto) akizungumza jambo na Mhadhiri Idara ya Kemia Chuo kikuu cha Dodoma(kulia) , Dkt Sahini Mtabazi pamoja na Mhadhili Msaidizi Idara ya Elimu ya Saikolojia na Mafunzo ya Mitaala UDOM, Frederick Msangi(katikati) katika banda la chuo hicho kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mhadhiri Msaidizi Idara ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Miraji Hossein(kushoto) akizungumza jambo na Mhadhiri Idara ya Kemia Chuo kikuu cha Dodoma(kulia) , Dkt Sahini Mtabazi pamoja na Mhadhili Msaidizi Idara ya Elimu ya Saikolojia na Mafunzo ya Mitaala UDOM, Frederick Msangi(katikati) katika banda la chuo hicho kwenye Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment