HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 2, 2021

ROBO FAINALI ZA EUR0 2020 KUCHEZWA WIKIENDI HII

*Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

BAADA ya matukio ya kushangaza katika raundi ya 16 bora, sasa Euro 2020 imefika kwenye Robo fainali na Meridianbet imekuwekea Odds Bomba sana kwenye mechi hizo, Ingia Meridianbet na ubashiri sasa!


ijumaa hii, kutakuwa na mechi ya kwanza ya Robo fainali ya Euro, vijana wa Luis Enrique, Spain watakuwa kibaruani kupepetana na Switzerland ambao wapo kwenye moto. Meridianbet imeweka Odds ya 1.77 kwa Spain, bashiri sasa!


Siku ya Jumamosi, Czech Republic watawaalika Denmark ambao wapo kwenye moto sana. Kwa kuelewa moto wao, Meridianbet imeweka Odds ya 2.20 kwa Denmark, iwahi.


Siku ya Jumapili, ligi ya Norway inaendelea, Lillestrom itakuwa nyumbani kuwaalika Mjondalen. Lillestrom wanashindana sana, na Meridianbet imewawekea Odds ya 1.95 kwa upande wa Lillestrom.

Siku ya Jumatatu, ligi ya Norway itaendelea, na Kristiansund itakuwa nyumbani kuwaalika Brann. Kristiansund wapo nafasi ya tatu, na Meridianbet imewawekea Odds ya 2.00 kwa upande wa Kristiansund.


Ni rahisi sana kuwa bingwa wikiendi hii, cha kufanya nikuchangamkia fursa tu. Piga *149*10# kujiunga au tembelea www.meridianbet.co.tz na ujiunge na familia ya mabingwa!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad