Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi (wa pili kulia) pamoja na waumini mbali mbali na wananchi
wakiitikia Dua iliyoombwa na Mufti Mkuu wa zanzibar Sheikh Saleh Omar
Kabi (wa tatu kulia) baada ya Sala ya Maiti ya Marehemu Mke wa Katibu
Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dk.Aboud Suleiman Jumbe katika
Masjid Mushawal Mwembeshauri Jijini Zanzibar baada ya Sala ya Ijumaa na
maziko kufanyika leo katika makaburi ya Mwanakwerekwe Wilaya ya Mjini
Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 02/07/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein
Ali Mwinyi (wa tatu kulia) akishiriki katika Sala ya Maiti ya Marehemu
Mke wa Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dk.Aboud Suleiman
Jumbe katika Masjid Mushawal Mwembe shauri Jijini Zanzibar baada ya Sala
ya Ijumaa na maziko kufanyika leo katika makaburi ya Mwanakwerekwe
Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 02/07/2021.
No comments:
Post a Comment