HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 12, 2021

HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA HOSTELI ZA WANAFUNZI WA KIKE CHUO CHA CBE MKOANI MBEYA

 


 Ungana na Mhe. Naibu Spika Dr. Tulia Ackson (MB) na Mlezi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Kampasi ya MBEYA kwa Kuchangia fedha kwaajili ya Ujenzi hosteli za wanafunzi wa kike katika kampasi ya Mbeya.  Hosteli hizi zimekadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania bilioni 1.15.
Unaweza kushiriki kwa kupitia namba za Changizo hapo juu.
#ChangiaZaidiYaHarusi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad