Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(kushoto) akizungumza na Viongozi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)
alipokutana nao leo Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuwashukuru na
kuwapongeza kwa kazi ya kufanikisha vyema Uchaguzi Mkuu uliopita hivi
karibuni.[Picha na Ikulu]. 10/11/2020.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(katikati) akimsikiliza Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Fadhil Omar
Nondo (aliyesimama) alipokuwa akitoa neno la kumshukuru mbele ya Rais
mara baada ya Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama walipofika
Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa ajili ya kupongezwa kwa kufanikisha
kusimamia vyema kwa Zoezi la Uchaguzi Mkuu uliopita hivi
karibuni.[Picha na Ikulu].10/11/2020.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)
Mhe.Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid baada ya mazungumzo na
kuishukuru na kuipongeza Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) leo Ikulu
Jijini Zanzibar kwa kufanikisha vyema Uchaguzi Mkuu uliopita .[Picha
na Ikulu]. 10/11/2020.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(katikati) akizungumza na Viongozi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)
alipokutana nao leo Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuwashukuru na
kuwapongeza kwa kazi ya kufanikisha vyema Uchaguzi Mkuu uliopita hivi
karibuni.[Picha na Ikulu]. 10/11/2020.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(katikati) akizungumza na Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama
leo Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuwashukuru na kuwapongeza kwa
kufanikisha kusimamia vyema kwa Zoezi la Uchaguzi Mkuu uliopita hivi
karibuni.
[Picha na Ikulu].10/11/2020.
No comments:
Post a Comment