HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 1, 2020

MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. MAGUFULI AFANYA MKUTANO TUNDUMA

 

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Tunduma katika mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika katika viwanja wa Nyerere Tunduma mkoani Songwe leo tarehe 1 Oktoba 2020.

 Wananchi wa mji wa Tunduma mkoani Songwe wakimsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad