MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduziu ambae pia ni Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihutubia
Wananchi wa Wilaya ya Wete Pemba na kumuombea Kura Mgombea wa Urais wa
Zanzibar Mhe. Dk. Hussein Mwinyi na Rais wac Tanzania Mhe. John Magufuli
na Wabunge, Wawakilishi na Madiwani mkutano uliofanyika Uwanja wa Mpira
Gando.(Picha na Ikulu)
MGOMBEA
Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Mwinyi
akiwahutubia Wananchi wa Wilaya yac Wete Pemba na kuomba kura na
kuwaombea Kura Wagombea Ubunge,Uwawakilishi na Udiwani Kisiwani Pemba,
mkutano huo wa kampeni umefanyika katika uwanja wa mpira Gando Pemba.
MKE
wa Mgombea Urais wa Zanzibar Mama Maryam Mwinyi akizungumza na
kumuombea Kura Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dk.
Hussein Mwinyi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa mpira
Gando Wilaya ya Wete Pemba.
MKE
wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mama Asha Suleiman Iddi
akizungumza na kumuombea Kura Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Dk. Hussein
Mwinyi, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa mpira Gando
Wilaya ya Wete Pemba.
MWANACHAMA
wa Chama cha ACT-Wazalendo Bi.Rahma Sheha Hamad akitangaza kukihama
Chama cha ACT- Wazalendo wakati wa Mkutano wa Kampeni ya CCM kumnadi
Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi uliofanyika katika
uwanja wa Mpira Gando Wilaya ya Wete Pemba
WASANII
kutoka Kambini Kichokocho kijiji cha Mchangamdogo wakicheza ngoma ya
msewe wakati wa hafla ya mkutano wa kampeni ya CCM iliofanyika katika
uwanja wa mpira Gando Wilaya ya Wete Pemba.
MANJU
wa Mkota Ngoma Othman Ali Haji akitowa burudani wakati wa mkutano wa
Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe. Dk. Hussein
Mwinyi, uliofanyika katika uwanja wa mpira Gando Wilaya ya Wete Pemba.
MSANII
wa Muziki wa Kizazi Kipya Bongo Flava Said Kitwana ( Mabawa ) akiwa na
msanii wa Taarab Fatma Issa wakitoa burudani wakati wa mkutano wa
kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk.
Hussein Mwinyi, iliofanyika katika uwanja wa mpira Gando Wilaya ya Wete
Pemba.
No comments:
Post a Comment