HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 28, 2020

Benki ya NMB yapongezwa kwa kutoa ahueni wakati wa COVID-19

 

Mwakilishi wa kiwanda cha ngozi cha Tanneries kutoka Himo Wilaya ya Moshi - France Sawerio kulia,akitoa maelezeo kwenye maonesho ya bidhaa anazo zitengeneza,wakati Viongozi wa Benki ya NMB walipo tembelea banda lake wakati wa Kongamano la wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (NMB Business Club), lililofanyika katika ukumbi wa Kuringe - mjini Moshi.
Wafanyabiashara wakubwa ambao ni wateja wa Benki ya NMB mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wakiwa katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki hiyo kwenye hoteli ya Gran Melia jijini Arusha kujadili mikakati ya kuboresha ushirikiano .
Washiriki wa kongamano la wafanyabiasha Wadogo na wa Kati waliojiunga na Mtandao wa NMB Business Club kutoka Arusha, Moshi na Tanga wakiwa katika kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Kuringe mjini Moshi.
Afisa Mkuu wa Huduma Shirikishi wa Benki ya NMB, Nenyuata Mejooli akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki hiyo kwenye hoteli ya Gran Melia jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad