Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai akifafanua jambo mbele ya Maaskofu na Mapadre kutoka
Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao ndani
ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma wakiwa katika ziara ya mafunzo.
Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai (watatu kushoto) akiwa katika maombi maalum ya kuliombea
Bunge yaliyotolewa na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa
Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao nje ya ukumbi wa Bunge Jijini
Dodoma.Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai (watano kushoto mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu
na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya
utume wao nje ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akiongozana na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia
mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao wakati
wakiingia katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo.Baadhi ya Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia
mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao wakimsikiliza w
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (hayupo kwenye picha) wakati walipotembelea
ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya ziara ya mafunzo.Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia
mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao walipotembelea
ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya ziara ya mafunzo. (PICHA NA OFISI
YA BUNGE)
Thursday, August 20, 2020

Home
HABARI
KATIBU KAGAIGAI AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO KWA MAASKOFU NA MAPADRE KUTOKA PAROKIA MBALIMBALI TANZANIA
KATIBU KAGAIGAI AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO KWA MAASKOFU NA MAPADRE KUTOKA PAROKIA MBALIMBALI TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment