RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk. Ali
Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Waumini wa Dini ya Kiislam
baada ya kumalizika kwa kisoma cha dua kumuombea Marehemu Haji Nassib
Haji Nyanya, kilichofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj. Dk. Ali
Mohamed Shein akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika kisomo cha
Hitma kumuombea Dua Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya na (kulia kwa
Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na
(kushoto kwa Rais) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman
Ngwali, kisomo hicho kimefanyika katika msikiti wa Ijumaa chuwini Wilaya
ya Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu)
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakishiriki katika kisomo cha hitma kumuombea dua
Marehemu Haji Nassib Haji Nyanya kilichofanyika katika Msikiti wa Ijumaa
Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu) WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Haji Nassib
Haji Nyanya iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja, ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.
Hassan Othman Ngwali (hayupo pichani) (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk. Ali Mohamed Shein akiitikia dua ya kuhitimisha kisomo cha hitma ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, dua hiyo imefanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk. Ali Mohamed Shein akiitikia dua ya kuhitimisha kisomo cha hitma ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, dua hiyo imefanyika katika Msikiti wa Ijumaa Chuwini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment