KATIBU
Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila anatarajia kukutana na
watendaji wa Tume ya Madini jijini Arusha kwa lengo la kujadili
mafanikio ya Tume ya Madini kwa Mwaka wa Fedha 2019-2020, changamoto na
mikakati ya namna bora ya utekelezaji wa mpango kazi wa Tume kwa mwaka
wa fedha 2020-2021.
Jana
Julai 23,2020 kunafanyika kikao cha awali kitakachoshirikisha mameneja
kutoka Tume ya Madini Makao Makuu na Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa
Nchini.
Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Arusha, Hamis Kamando akichangia jambo kwenye mkutano huo.
Maafisa madini wakazi wa nkoa wakifuatilia mkutano
Meneja
rasilimaliwatu, Gift Kilimwomeshi akizungumza kwenye kikao hicho
kilichowashirikisha mameneja kutoka makao makuu tume ya madini
No comments:
Post a Comment