HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 22, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA JUMUIYA YA MAHAKIMU NA MAJAJI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatil Bahar Mbweni Zanzibar.
 Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu akitoa hotuba na kumkaribisha mgeni rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatil Bahar Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatil Bahar Mbweni Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein   katikati akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatil Bahar Mbweni Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad