HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 22, 2019

MWEKEZAJI TOKA SWEDEN ATEMBELEA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Joseph Sokoine akiwa katika kikao cha pamoja na Wageni kutoka  Sweden waliotembelea Ofisi ya Makamu wa Rais,  katika mji wa Serikali jijini Dodoma. Madhumuni ya ugeni huo ni kuelezea nia ya Kampuni ya ECO Sysytem International ya kusambaza teknolojia ya kisasa ya kupunguza uchafuzi wa hewa unaosababishwa na magari .
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Catherine Bamwenzaki akiangalia mfano wa kifaa kitakachotumika kwa ajili ya kupunguza uchafuzi wa hewa unaosababishwa na magari ya aina yote anyemuangalia ni Injinia Julius Enock kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine akiwa katika picha ya pamoja na   Wajumbe Ofisi ya Makamu wa Rais, Wizara ya Mambo ya Nje pamoja na Mwekezaji kutoka Sweden waliohudhuria kikao hiko jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad