HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 4, 2019

KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKUTANA IDARA YA MAZINGIRA NA MENEJIMENTI YA NEMC

 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akiongoza kikao kazi alipokutana na Idara ya Mazingira pamoja na Menejimenti ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma.
Watendaji kutoka Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais na Menejimenti ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu Mhandisi Joseph Malongo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad