HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 19, 2019

RAIS DKT.SHEIN AMEWAAPISHA WAKUU WA MIKOA IKULU LEO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja hafla leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla Ayoub alikuwa Mkuu wa Mkoa wa mjini Magharibi.(Picha na Ikulu)
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Mhe.Hassan Khatib Hassan kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla alikuwa Mkoa wa Kusini Unguja.
 Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Omar Othman Makungu (kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi(Gavu) na Naibu Waziri Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa n a Idara Maalum za SMZ Shamata Shaame Khamis,(kulia) wakiwa katika hafla ya kuapishwa Wakuu wa Mikoa Kusini na Mjini Magharibi leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa kwa Viongozi ambao ni Wkuu wa Mikoa naRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad