HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 3, 2019

BENKI YA CRDB YAJIKITA KUINUA KILIMO, WADAU MBALIMBALI WATEMBELEA BANDA LAO NANE NANE 2019

Meneja Mahusiano wa Benki ya CRDB anayehusika na Mikopo ya Kilimo, Maregesi Shaaban (kushoto) akimuelezea jambo Mkurugenzi wa Kampuni ya NSAGALI ambaye pia ni Mteja wa Benki ya CRDB Mkoani Simiyu, Emmanuel Silanga (wa pili kulia) aliyetembelea banda la Benki hiyo katika maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya NSAGALI ambaye pia ni Mteja wa Benki ya CRDB Mkoa wa Simiyu, Emmanuel Silanga (katikati) akimuuliza jambo Meneja Biashara wa Benki ya CRDB Tawi la Bariadi, Felix Kisenha wakati alipotembelea banda la Benki hiyo katika maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Mkoa wa Simiyu, Charles Madata akipokea maelekezo ya namna wakulima wanavyonufaika na mikopo ya pembejeo kutoka kwa Afisa wa Benki ya CRDB Dennis Dodo alipotembelea banda la Benki hiyo wakati wa maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Afisa wa Benki ya CRDB, Gelorida Samuel akimuhudumia mmoja wa wateja waliotembelea banda la Benki hiyo katika maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Afisa wa Benki ya CRDB, Daniel Nyamuvugwa akimsikiliza mmoja wa wateja waliotembelea banda la Benki hiyo katika maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Afisa wa Benki ya CRDB, Mary Makunda akimuunganisha mteja na huduma ya SimBanking katika banda la Benki hiyo wakati wa maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Sehemu ya Wateja wa Benki ya CRDB wakipatiwa maelezo ya namna ya matumizi ya Matrekta yanayokopeshwa na Benki hiyo kwa kushirikiana na kampuni ya ETC Agro, wakati wa maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB Tawi la Bariadi, Felix Kisenha akimfungua akaunti ya Mtoto (Junior Jumbo) mmoja wa wateja waliotembelea banda la Benki hiyo wakati wa maonyesho ya 26 ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nane Nane 2019), yanayofanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad