HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 17, 2019

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo, Bungeni jijini Dodoma, Juni 17, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masala ya Watu Wenye Ulemavu, Stella Ikupa (kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza, Bungeni jijini Dodoma, Juni 17, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Stephen Masele kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 17, 2019. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Latifa Chande. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 17, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad