HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 20, 2019

WAZIRI LUGOLA AONGOZA MAANDAMANO MAADHIMISHO SIKU YA WAKIMBIZI DUNIANI




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kulia) akiongoza maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani ambayo imefanyika jijini Dar es Salaam, leo. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Katikati ni Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) Nchini, Chansa Kapaya. Na kulia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad