HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 10, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AMJULIA HALI MKE WA BABA WA TAIFA MAMA MARIA NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere  anayepatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakimuombea mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere  anayepatiwa matibabu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad