HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 18, 2019

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA KUPITIA SHUGHULI ZILOZOBAKI KATIKA MKUTANO WA BUNGE UNAOENDELEA JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Bunge ya Uongozi kilichokutana kupitia shughuli zilizobaki za Mkutano wa Kumi na Tano wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma.
  Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Bunge ya Uongozi kilichokutana kupitia shughuli zilizobaki za Mkutano wa Kumi na Tano wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba akichangia jambo wakati wa kikao cha Kamati ya Bunge ya Uongozi kilichokutana kupitia shughuli zilizobaki za Mkutano wa Kumi na Tano wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma.
  Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama akichangia jambo wakati wa kikao cha Kamati ya Bunge ya Uongozi kilichokutana kupitia shughuli zilizobaki za Mkutano wa Kumi na Tano wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad