HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 24, 2019

SEVILLA YAICHAPA SIMBA BAO 5-4, YACHUKUA KIKOMBE CHA URAFIKI

 Beki wa pembani wa Simba SC, Zana Coulibaly akijaribu kumpita Mchezaji wa Sevilla FC kwenye mchezo uliomalizika usiku huu kwa Simba SC kukubali kipigo cha bao 5-4.
 Kikosi cha Sinba SC kilichoanza leo kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Sevilla FC
 Hekaheka za mtanange huo kati ya Simba SC dhidi Sevilla FC
 Mashabiki wa Simba SC wakishangilia moja ya bao lillilofungwa na timu yao katika mchezo wa kirafiki dhidi Sevilla FC ya Hispania, Simba SC imekubali kichapo cha bao 5-4.
 Kikosi cha Sevilla FC kilichoanza leo mchezo dhidi ya Simba SC.
 Wachezaji wa Simba SC, Maddie Kagere na Clotous Chama wakipongezana baada timu yao kupata bao, pembeni ni Beki wa timu hiyo, Zana Coulibaly akiteta jambo na Haruna Niyonzima. Simba SC ilikubali kipigo cha bao 5-4 kutoka kwa Sevilla FC ya Hispania.

 Nyota wa Simba SC, Cloutous Chama akijaribu kuwatoka Wachezaji wa Sevilla FC katika mchezo wa kirafiki ulimalizika usiku huu kwa Simba SC kukubali kichapo cha bao 5-4.
 Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Mchezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akikabidhi Kombe la Ushindi kwa Nahodha wa Sevilla FC, Jesus Navas pamoja na Wachezaji wengine wa timu hiyo baada yakuondoka na Ushindi wa bao 5-4 mbele ya Simba SC. (Picha zote na Mohammed Ibrahim, Michuzi TV)









No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad